top of page
  • insta – 2
  • insta
  • insta – 1

▶ MP3 ▷ Lyrics ▷ About Artist

Cover art for “Nishalowa” featuring Jay Melody and Alikiba, showcasing vibrant Tanzanian Afro-pop aesthetics

Artist Name:

Alikiba ft Jay Melody

Song Name:

Nishalowa

Date:

2025-05-13

NishalowaAlikiba ft Jay Melody
00:00 / 03:49

Experience the soulful fusion of Afro-pop rhythms in “Nishalowa” by Jay Melody featuring Alikiba. This track invites listeners into a melodic journey of love and emotion.

[Intro]

Once again

Ona nanah

Ona nananah


[Verse 1: Jay Melody]

Ninavyoonekana kama nina ulafi, onhoo

Ninavyoonekana kama nakuja kasi, anhaa

Najua uba unahitaji kidogo nafasi, enhee

Na mie ndio hivyo nishakolea nazi, anhaa

Huwa naota uniita, sauti yako inavuma toka mbali

Mizigo yako nitajitwika

Niko tayari mie kuanza safari

Kuna wakati ni usiku saa tisa

Unaongea na mimi haulali

Hivyo vitu vyanimaliza

Na kukuacha kwa kweli sitakubali


[Pre-Chorus: Jay Melody]

Yani sitosheki mimi

Unazidi kunichanganya au nilambe na ulimi

Nipete huko chini kwa chini

Naibuka nikizama kama samaki baharini

Ohh


[Chorus: Jay Melody]

Mapenzi yako mvua, nishalowa

Mapenzi yako jua, lanichoma

Mapenzi yako mvua, nishalowa

Mapenzi yako jua, lanichoma


[Verse 2: Alikiba]

Taratibu nishapenda

Wangu moyo ushalenga

Vya ndani utamu, nishalamba

Oh dear, oh mama

Umenipa mapenzi, naona utajiri

Siwezi kuificha siri

Penzi maradhi nishapata

Unavyonijali dakitari

Mbona raha aah

Ndo ujue kama hakuna

Mimi bila wewe

Sitamani nikuache usiniache


[Pre-Chorus: Alikiba]

Yani sitosheki mimi

Unazidi kunichanganya au nilambe na ulimi

Nipete huko chini kwa chini

Naibuka nikizama kama samaki baharini

Ohh


[Chorus: Alikiba]

Mapenzi yako mvua, nishalowa

Mapenzi yako jua, lanichoma

Mapenzi yako mvua, nishalowa

Mapenzi yako jua, lanichoma

Alikiba

Jay Melody

Afropop

Tanzania

bottom of page