▶ MP3 ▷ Lyrics ▷ About Artist

Artist Name:
Alikiba ft Jay Melody
Song Name:
Nishalowa
Date:
2025-05-13
Experience the soulful fusion of Afro-pop rhythms in “Nishalowa” by Jay Melody featuring Alikiba. This track invites listeners into a melodic journey of love and emotion.
[Intro]
Once again
Ona nanah
Ona nananah
[Verse 1: Jay Melody]
Ninavyoonekana kama nina ulafi, onhoo
Ninavyoonekana kama nakuja kasi, anhaa
Najua uba unahitaji kidogo nafasi, enhee
Na mie ndio hivyo nishakolea nazi, anhaa
Huwa naota uniita, sauti yako inavuma toka mbali
Mizigo yako nitajitwika
Niko tayari mie kuanza safari
Kuna wakati ni usiku saa tisa
Unaongea na mimi haulali
Hivyo vitu vyanimaliza
Na kukuacha kwa kweli sitakubali
[Pre-Chorus: Jay Melody]
Yani sitosheki mimi
Unazidi kunichanganya au nilambe na ulimi
Nipete huko chini kwa chini
Naibuka nikizama kama samaki baharini
Ohh
[Chorus: Jay Melody]
Mapenzi yako mvua, nishalowa
Mapenzi yako jua, lanichoma
Mapenzi yako mvua, nishalowa
Mapenzi yako jua, lanichoma
[Verse 2: Alikiba]
Taratibu nishapenda
Wangu moyo ushalenga
Vya ndani utamu, nishalamba
Oh dear, oh mama
Umenipa mapenzi, naona utajiri
Siwezi kuificha siri
Penzi maradhi nishapata
Unavyonijali dakitari
Mbona raha aah
Ndo ujue kama hakuna
Mimi bila wewe
Sitamani nikuache usiniache
[Pre-Chorus: Alikiba]
Yani sitosheki mimi
Unazidi kunichanganya au nilambe na ulimi
Nipete huko chini kwa chini
Naibuka nikizama kama samaki baharini
Ohh
[Chorus: Alikiba]
Mapenzi yako mvua, nishalowa
Mapenzi yako jua, lanichoma
Mapenzi yako mvua, nishalowa
Mapenzi yako jua, lanichoma