
Hisia Lyrics by Jay Melody
4.8 ( 256 Reviews)
Jay Melody’s “Hisia” lyrics explore love, emotional pain and the confusion of caring deeply for someone who plays with your feelings.
Artist
Asake
Release Date
12 July, 2026
Genre
Afrobeats
Quality
320kbs
Downloads
15.5K +
AUDIO PLAYER
SONG LYRICS
Lyrics
Ooh oooh
Aaah aaah
Aaaah pazito
The one and only jay
Sijui wapi nafeli kama kujali najali tena nakuzingatia
Sio kama hujielewi unajitoa tu fahamu kusudi unanifanyia
Kuna muda najiuliza
Na force vitu au vipi
Kila siku mi ndo naumizwa
Nipo kwako kama shabiki
Ovyoooo
Nimeona nisikulazie
Damu nimeamua nikuambie
Mambo unayofanya jifikirie
Kama ku share kwa wengine sio mie
Si umeamua kucheza nazo
Aaah hisia
Hisia zangu unazichezea
Aah hisia
Umeamua unipe mawazo
Aaah hisia
Hisia zangu unazikosea
Aaaah hisia
We si umeamua ku deal nazo
Aaaah hisia
Hisia zangu unazionea
Aaaah hisia
Sa kwanini unipe mawazooo
Aaah hisia
Hisia zangu unazikosea
Aaaah hisia
Mamaaa
Pazitooooo







